Swali: Mtu akipatwa na maradhi kabla ya kufanya Twawaaf-ul-Wadaa´ inaanguka na hahitajii tena kufanya?
Jibu: Haianguki. Bali utatakiwa kufanya Twawaaf hali ya kubebwa. Isipokuwa tu mwanamke mwenye hedhi ndio Twawaaf kwake inaanguka.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (08) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191309#219638
- Imechapishwa: 19/01/2019
Swali: Mtu akipatwa na maradhi kabla ya kufanya Twawaaf-ul-Wadaa´ inaanguka na hahitajii tena kufanya?
Jibu: Haianguki. Bali utatakiwa kufanya Twawaaf hali ya kubebwa. Isipokuwa tu mwanamke mwenye hedhi ndio Twawaaf kwake inaanguka.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (08) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191309#219638
Imechapishwa: 19/01/2019
https://firqatunnajia.com/twawaaf-ul-wadaa-inaanguka-kwa-mgonjwa/