Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kuota ilihali amefunga afanye nini?
Jibu: Mwenye kuota na amefunga ni wajibu kwake kuoga. Swawm yake ni sahihi. Jambo hili hakulifanya kwa kutaka kwake mwenyewe.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (08) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191309#219638
- Imechapishwa: 19/01/2019
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kuota ilihali amefunga afanye nini?
Jibu: Mwenye kuota na amefunga ni wajibu kwake kuoga. Swawm yake ni sahihi. Jambo hili hakulifanya kwa kutaka kwake mwenyewe.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (08) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191309#219638
Imechapishwa: 19/01/2019
https://firqatunnajia.com/kuota-wakati-wa-swawm/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)