Swali: Ni ipi hukumu ya kuitwa kwa jina la Twaaha? Je, ni miongoni mwa majina yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Ni jambo linahitajia dalili. Kinachodhihiri ni kwamba Twaaha ni herufi mbili miongoni mwa herufi za alfabeti na kwamba si katika majina yake. Sikumbuki dalili sahihi ya kwamba ni miongoni mwa majina yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (15)
- Imechapishwa: 08/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuitwa kwa jina la Twaaha? Je, ni miongoni mwa majina yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Ni jambo linahitajia dalili. Kinachodhihiri ni kwamba Twaaha ni herufi mbili miongoni mwa herufi za alfabeti na kwamba si katika majina yake. Sikumbuki dalili sahihi ya kwamba ni miongoni mwa majina yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (15)
Imechapishwa: 08/08/2020
https://firqatunnajia.com/twaaha-ni-jina-la-mtume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)