Allaah (Ta´ala) amesema:
طه مَا أَنزَلْنَا عَلَيْكَ الْقُرْآنَ لِتَشْقَىٰ
“Twaa Haa. Hatukukuteremshia Qur-aan ili upate mashaka.”[1]
“Twaa” na “Haa” ni herufi mbili za mkato. Sio jina miongoni mwa majina ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kama walivodai baadhi ya watu. Ni herufi za mkato ambazo Allaah ameanza nazo katika baadhi ya Suurah Tukufu katika Qur-aan. Ni herufi zisizokuwa na maana. Kwa kuwa Qur-aan imeteremka kwa lugha ya kiarabu. Lugha ya kiarabu haifanyi herufi za mkato zikawa na maana. Isipokuwa mpaka pale zinapoambatanishwa na kufanya ikawa neno.
[1] 20:01-02
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (02/210)
- Imechapishwa: 10/09/2024
Allaah (Ta´ala) amesema:
طه مَا أَنزَلْنَا عَلَيْكَ الْقُرْآنَ لِتَشْقَىٰ
“Twaa Haa. Hatukukuteremshia Qur-aan ili upate mashaka.”[1]
“Twaa” na “Haa” ni herufi mbili za mkato. Sio jina miongoni mwa majina ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kama walivodai baadhi ya watu. Ni herufi za mkato ambazo Allaah ameanza nazo katika baadhi ya Suurah Tukufu katika Qur-aan. Ni herufi zisizokuwa na maana. Kwa kuwa Qur-aan imeteremka kwa lugha ya kiarabu. Lugha ya kiarabu haifanyi herufi za mkato zikawa na maana. Isipokuwa mpaka pale zinapoambatanishwa na kufanya ikawa neno.
[1] 20:01-02
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (02/210)
Imechapishwa: 10/09/2024
https://firqatunnajia.com/twaa-haa-sio-jina-la-mtume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
