Swali: Ni ipi hukumu ya kununua tumbili na kuwawekea katika nyumba ya mapumziko wakati wa kiangazi kwa ajili ya kuwaburudisha watoto?
Jibu: Haijuzu kununua tumbili, paka na mfano wa wanyama kama hao. Ni haramu kuwauza na kuwanunua. Amekataza (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kipato kinachotokamana na paka. Haijuzu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (40)
- Imechapishwa: 18/05/2023