Swali: Ni ipi hukumu ya kusema kuwa wakati huu ni wa Jaahiliyyah yenye kuenea?
Jibu: Ni mwongo. Baada ya kutumwa Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) imeondoka Jaahiliyyah yenye kuenea. Himdi zote ni za Allaah Uislamu upo, Qur-aan na Sunnah vipo. Hatuko katika Jaahiliyyah yenye kuenea. Ingawa kunaweza kuwepo Jaahiliyyah katika baadhi ya watu na baadhi ya makabila.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17492
- Imechapishwa: 21/11/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kusema kuwa wakati huu ni wa Jaahiliyyah yenye kuenea?
Jibu: Ni mwongo. Baada ya kutumwa Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) imeondoka Jaahiliyyah yenye kuenea. Himdi zote ni za Allaah Uislamu upo, Qur-aan na Sunnah vipo. Hatuko katika Jaahiliyyah yenye kuenea. Ingawa kunaweza kuwepo Jaahiliyyah katika baadhi ya watu na baadhi ya makabila.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17492
Imechapishwa: 21/11/2017
https://firqatunnajia.com/tuko-katika-zama-za-jaahiliyyah/