Swali: al-Wasiylah ni cheo chenye kusifiwa?
Jibu: Ni nafasi Peponi.
Swali: Si cheo kinachosifiwa?
Jibu: Hapana, cheo chenye kusifika ni uombezi siku ya Qiyaamah. Uombezi juu ya watu waliosimama katika kiwanja siku ya Qiyaamah ndio chenye kinachosifiwa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31228/ما-معنى-الوسيلة-والمقام-المحمود
- Imechapishwa: 16/10/2025
Swali: al-Wasiylah ni cheo chenye kusifiwa?
Jibu: Ni nafasi Peponi.
Swali: Si cheo kinachosifiwa?
Jibu: Hapana, cheo chenye kusifika ni uombezi siku ya Qiyaamah. Uombezi juu ya watu waliosimama katika kiwanja siku ya Qiyaamah ndio chenye kinachosifiwa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31228/ما-معنى-الوسيلة-والمقام-المحمود
Imechapishwa: 16/10/2025
https://firqatunnajia.com/tofauti-ya-al-wasiylah-na-cheo-kinachosifiwa/