Swali: Je, kuna tofauti kati ya maandiko tukufu ya Muusa (صحف) na Tawraat?
Jibu: Ndio. Tawraat ni Kitabu ambacho Allaah alimteremshia Muusa. Maandiko tukufu ni kana kwamba ni mawaidha na mazingatio.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
- Imechapishwa: 05/11/2021
Swali: Je, kuna tofauti kati ya maandiko tukufu ya Muusa (صحف) na Tawraat?
Jibu: Ndio. Tawraat ni Kitabu ambacho Allaah alimteremshia Muusa. Maandiko tukufu ni kana kwamba ni mawaidha na mazingatio.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
Imechapishwa: 05/11/2021
https://firqatunnajia.com/tofauti-kati-ya-maandiko-tukufu-ya-muusa-na-tawraat/