Swali: Je, kuna tofauti kati ya maandiko tukufu ya Muusa (صحف) na Tawraat?
Jibu: Ndio. Tawraat ni Kitabu ambacho Allaah alimteremshia Muusa. Maandiko tukufu ni kana kwamba ni mawaidha na mazingatio.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
- Imechapishwa: 05/11/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)