Wanachuoni wanasema ya kwamba kuna tofauti tatu kati ya damu ya damu ya ugonjwa na hedhi:
1- Damu ya hedhi ni nyeusi tofauti na istihaadhah ambayo ni nyekundu.
2- Damu ya hedhi ni nene tofauti na istihaadhah ambayo ni nyembamba.
3- Damu ya hedhi inanuka tofauti na istihaadhah.
4- Madaktari wa leo wanasema kwamba damu ya hedhi haiwi imara. Inakuwa yaani bila kizuizi tofauti na istihaadhah ambayo inakuwa imara.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fath Dhiyl-Jalaal wal-Ikraam (1/406)
- Imechapishwa: 24/09/2020
Wanachuoni wanasema ya kwamba kuna tofauti tatu kati ya damu ya damu ya ugonjwa na hedhi:
1- Damu ya hedhi ni nyeusi tofauti na istihaadhah ambayo ni nyekundu.
2- Damu ya hedhi ni nene tofauti na istihaadhah ambayo ni nyembamba.
3- Damu ya hedhi inanuka tofauti na istihaadhah.
4- Madaktari wa leo wanasema kwamba damu ya hedhi haiwi imara. Inakuwa yaani bila kizuizi tofauti na istihaadhah ambayo inakuwa imara.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fath Dhiyl-Jalaal wal-Ikraam (1/406)
Imechapishwa: 24/09/2020
https://firqatunnajia.com/tofauti-kati-ya-istihaadhah-na-hedhi/