Swali: Ni ipi hukumu kwa mwanamke mwenye hedhi kuswali kwa sababu anaona aibu?
Jibu: Hakutawadha?
Swali: Anasimama ili aswali kwa kuwa anaona aibu ikija itajulikana ya kwamba yuko na hedhi.
Jibu: Swalah ni haramu kwake. Hatakiwi kuswali ikiwa yuko na hedhi au ametwaharika na hedhi yake kabla ya kuoga.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (40 B)
- Imechapishwa: 24/09/2020
Swali: Ni ipi hukumu kwa mwanamke mwenye hedhi kuswali kwa sababu anaona aibu?
Jibu: Hakutawadha?
Swali: Anasimama ili aswali kwa kuwa anaona aibu ikija itajulikana ya kwamba yuko na hedhi.
Jibu: Swalah ni haramu kwake. Hatakiwi kuswali ikiwa yuko na hedhi au ametwaharika na hedhi yake kabla ya kuoga.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (40 B)
Imechapishwa: 24/09/2020
https://firqatunnajia.com/mwanamke-wa-hedhi-kuswali-kwa-ajili-ya-haya/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)