Swali: Ni yepi malipo yanayopatikana kwa kumzika maiti?
Jibu: Akihudhuria swalah [na kuzika] anapata ujira mara mbili, Qiraatw mbili. Akihudhuria kimoja katika hivyo anapata Qiraatw moja, ambayo ni ujira mkubwa zaidi kuliko mlima.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23500/ما-الاجر-المترتب-على-دفن-الميت
- Imechapishwa: 01/02/2024
Swali: Ni yepi malipo yanayopatikana kwa kumzika maiti?
Jibu: Akihudhuria swalah [na kuzika] anapata ujira mara mbili, Qiraatw mbili. Akihudhuria kimoja katika hivyo anapata Qiraatw moja, ambayo ni ujira mkubwa zaidi kuliko mlima.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23500/ما-الاجر-المترتب-على-دفن-الميت
Imechapishwa: 01/02/2024
https://firqatunnajia.com/thawabu-za-kumzika-maiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)