Swali: Ikiwa kuna msikiti ambao kunasemwa una kaburi. Lakini hata hivyo haijathibitishwa. Inajuzu kuswali kwenye msikiti huu?
Jibu: Asli ni mtu kwenda huko na kuswali. Maadamu hakujathibitishwa kuwa kuna kaburi mtu aende na kuswali. Lau kungelikuwa kaburi ingejulikana.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (34) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathulmajid-17-11-1436-01.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Ikiwa kuna msikiti ambao kunasemwa una kaburi. Lakini hata hivyo haijathibitishwa. Inajuzu kuswali kwenye msikiti huu?
Jibu: Asli ni mtu kwenda huko na kuswali. Maadamu hakujathibitishwa kuwa kuna kaburi mtu aende na kuswali. Lau kungelikuwa kaburi ingejulikana.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (34) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathulmajid-17-11-1436-01.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/tetesi-za-kuwepo-kaburi-ndani-ya-msikiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket