Swali 182: Ana tawbah mwenye kufanya jarima ya liwati?
Jibu: Tawbah ni yenye kukubalika. Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) amesema:
وَإِنِّي لَغَفَّارٌ لِّمَن تَابَ وَآمَنَ وَعَمِلَ صَالِحًا ثُمَّ اهْتَدَىٰ
”Hakika Mimi ni Mwingi mno wa kusamehe kwa anayetubia na akaamini na akatenda mema kisha akaendelea kuongoka.”[1]
Yaliyopokelewa kwamba iwapo mlawiti ataoga kwa maji ya bahari hatotwaharika ni Hadiyth ya uongo ambayo haikusihi kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Allaah ndiye anajua zaidi.
[1] 20:82
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ijaabatu as-Saa-il, uk. 364
- Imechapishwa: 05/10/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket