Swali 674: Vipi kuhusu mtu ambaye kwa sababu yake wamepotea viumbe wengi kisha baadaye akatubia?
Jibu: Allaah humkubalia tawbah yake, kutokana na kuenea. Viongozi wa Quraysh walipotea kwa sababu yao viumbe wengi. Lakini walipotubia Allaah akawakubalia tawbah yao. Allaah ndiye Mwenye kuamua nini cha kuwafanya wapotevu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 243
- Imechapishwa: 27/06/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 674: Vipi kuhusu mtu ambaye kwa sababu yake wamepotea viumbe wengi kisha baadaye akatubia?
Jibu: Allaah humkubalia tawbah yake, kutokana na kuenea. Viongozi wa Quraysh walipotea kwa sababu yao viumbe wengi. Lakini walipotubia Allaah akawakubalia tawbah yao. Allaah ndiye Mwenye kuamua nini cha kuwafanya wapotevu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 243
Imechapishwa: 27/06/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/tawbah-ya-ambaye-amepotosha-watu-wengi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket