Swali: Wakati ninapochinja kondoo mia mfano. Je, inatosha kutaja jina moja au hapana?
Jibu: Kila kondoo unahitaji kumtajia jina la Allaah. Ikiwa kuna mashine inayowachinja kwa haraka, basi ataje juu ya wote. Tunatumaini kwamba inatosha – Allaah akitaka. Lakini ikiwa anawachinja kwa mkono wake wa kulia, ataje. Ikiwa ni kwa mashine inayopita katika koo zao kwa haraka na akataja juu ya mashine hiyo kwa haraka, tunatumaini kwamba hilo linatosha.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1093/ذبح-مجموعة-من-الغنم-بتسمية-واحدة
- Imechapishwa: 15/12/2025
Swali: Wakati ninapochinja kondoo mia mfano. Je, inatosha kutaja jina moja au hapana?
Jibu: Kila kondoo unahitaji kumtajia jina la Allaah. Ikiwa kuna mashine inayowachinja kwa haraka, basi ataje juu ya wote. Tunatumaini kwamba inatosha – Allaah akitaka. Lakini ikiwa anawachinja kwa mkono wake wa kulia, ataje. Ikiwa ni kwa mashine inayopita katika koo zao kwa haraka na akataja juu ya mashine hiyo kwa haraka, tunatumaini kwamba hilo linatosha.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1093/ذبح-مجموعة-من-الغنم-بتسمية-واحدة
Imechapishwa: 15/12/2025
https://firqatunnajia.com/tasmiyah-wakati-wa-kuchinja-wanyama-wengi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket