Swali: Je, inafaa kwa mwanaume kuswali Tarawiyh nyumbani na familia yake?

Jibu: Hapana vibaya kufanya hivo. Ndio bora kama tulivyotangulia kusema.

  • Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 86
  • Imechapishwa: 21/03/2024