Swali: Je, inajuzu mume kumtaliki mke wake bila ya kuwepo sababu yoyote? Baadhi ya watu wanatumia Hadiyth ya Ummu Zur´ah pindi mume wake alipomtaliki bila ya sababu yoyote. Pamoja na hivyo, Mtume (´alayhis-Salaam) hakumkataza tendo hili?
Jibu: Kutoa Talaka bila ya sababu inajuzu lakini imechukizwa. Inajuzu lakini pamoja na kuchukiza.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: www.alfawzan.af.org.sa/node/10016
- Imechapishwa: 14/02/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket