Swali: Je, inajuzu mume kumtaliki mke wake bila ya kuwepo sababu yoyote? Baadhi ya watu wanatumia Hadiyth ya Ummu Zur´ah pindi mume wake alipomtaliki bila ya sababu yoyote. Pamoja na hivyo, Mtume (´alayhis-Salaam) hakumkataza tendo hili?
Jibu: Kutoa Talaka bila ya sababu inajuzu lakini imechukizwa. Inajuzu lakini pamoja na kuchukiza.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: www.alfawzan.af.org.sa/node/10016
- Imechapishwa: 14/02/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
Related
Talaka bila sababu imechukizwa
Swali: Ni ipi hukumu kwa mwenye kutolea dalili Kauli Yake (Ta´ala): وَإِنْ أَرَدتُّمُ اسْتِبْدَالَ زَوْجٍ مَّكَانَ زَوْجٍ “Mkitaka kubadilisha mke mahali pa mke.” (04:20) ya kwamba talaka inajuzu na kubadilisha mwanamke mwingine hata kama itakuwa ni pasi na sababu? Jibu: Talaka ikiwa ni pasi na sababu imechukizwa. Kwa sababu kinachotakikana…
In "Talaka"

Mume amegoma kutoa talaka
https://www.youtube.com/watch?v=Xwypq4F2O_U Swali: Mke wangu akiniomba talaka mara nyingi ambapo nakataa inahesabika ni katika dhuluma? Nina dhambi ikiwa nitaiandika kwa siri bila ya mke wangu kujua? Jibu: Akikuomba talaka kwa sababu humtimizii haki zake au hukumfanyia haki zake na wakati huo huo unamdhulumu, hapa ni lazima umuondolee madhara. Ima uwe mwadilifu…
In "´Allaamah Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan"

Aayah ya “an-Nisaa´” inasapoti talaka pasina sababu?
https://www.youtube.com/watch?v=ci9BS8U0hvw Swali: Ni ipi hukumu kwa mwenye kutolea dalili Kauli Yake (Ta´ala): وَإِنْ أَرَدتُّمُ اسْتِبْدَالَ زَوْجٍ مَّكَانَ زَوْجٍ “Na mkitaka kubadlisha mke mahali pa mke.” (04:20) ya kwamba talaka inajuzu na kubadilisha mwanamke mwingine hata kama itakuwa ni pasi na sababu? Jibu: Talaka ikiwa ni pasi na sababu imechukizwa. Kwa…
In "´Allaamah Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan"