Swali: Je, inajuzu mume kumtaliki mke wake bila ya kuwepo sababu yoyote? Baadhi ya watu wanatumia Hadiyth ya Ummu Zur´ah pindi mume wake alipomtaliki bila ya sababu yoyote. Pamoja na hivyo, Mtume (´alayhis-Salaam) hakumkataza tendo hili?
Jibu: Kutoa Talaka bila ya sababu inajuzu lakini imechukizwa. Inajuzu lakini pamoja na kuchukiza.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: www.alfawzan.af.org.sa/node/10016
- Imechapishwa: 14/02/2018
Swali: Je, inajuzu mume kumtaliki mke wake bila ya kuwepo sababu yoyote? Baadhi ya watu wanatumia Hadiyth ya Ummu Zur´ah pindi mume wake alipomtaliki bila ya sababu yoyote. Pamoja na hivyo, Mtume (´alayhis-Salaam) hakumkataza tendo hili?
Jibu: Kutoa Talaka bila ya sababu inajuzu lakini imechukizwa. Inajuzu lakini pamoja na kuchukiza.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: www.alfawzan.af.org.sa/node/10016
Imechapishwa: 14/02/2018
https://firqatunnajia.com/talaka-bila-ya-kuwepo-sababu-inajuzu-ila-imechukizwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)