Sio Jahmiyyah wenyewe wamesema kuwa Qur-aan imeumbwa. Mu´tazilah, Rawaafidhw na Khawaarij wamewafuata kwa hilo. Hata waliokuja nyuma Ash´ariyyah wamekuwa ni wenye kusema wazi ya kwamba Qur-aan hii iliyopo kwenye misahafu imeumbwa. Huu ni upotevu mkubwa na tunaomba kinga kwa Allaah. Mnaona kuwa Salaf wamemkufurisha yule mwenye kusema hivo.
- Muhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: adh-Dhariy´ah ilaa Bayaan Maqaaswid Kitaab-ish-Sharï´ah (1/340)
- Imechapishwa: 26/08/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket