Swali: Mwenye kupinga kitu ambacho kinajulikana fika katika dini kujuzu kwake. Je, yeyote anaweza kumkufurisha au hili ni jambo maalum kwa wanachuoni?
Jibu: Ikiwa ni mjinga na hajui mambo ya dini inatakiwa kumbainishia na kuwekewa wazi. Akiendelea kufanya hivo baada ya kujua na ubainifu, anahukumiwa kuritadi. Lakini wenye kufanya hivi ni wanachuoni waliobobea katika elimu. Si haki ya kila mmoja kukufurisha na kuhukumu kuritadi. Si haki ya watu wote.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (37) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-1-25.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Mwenye kupinga kitu ambacho kinajulikana fika katika dini kujuzu kwake. Je, yeyote anaweza kumkufurisha au hili ni jambo maalum kwa wanachuoni?
Jibu: Ikiwa ni mjinga na hajui mambo ya dini inatakiwa kumbainishia na kuwekewa wazi. Akiendelea kufanya hivo baada ya kujua na ubainifu, anahukumiwa kuritadi. Lakini wenye kufanya hivi ni wanachuoni waliobobea katika elimu. Si haki ya kila mmoja kukufurisha na kuhukumu kuritadi. Si haki ya watu wote.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (37) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-1-25.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/takfiyr-si-haki-ya-watu-wote/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)