Swali: Je, kuwafanyie Takfiyr Jamaa´at-ut-Takfiyr?
Jibu: Hapana. Hatuwafanyii Takfiyr. Hata kama Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Yule mwenye kumwambia ndugu yake kuwa ni kafiri linamrudilia ikiwa si sahihi.”[1]
hatuwafanyii Takfiyr. ´Aliy bin Abiy Twaalib amesema kuhusu Khawaarij:
”Wameikimbia kufuru.”
Hata hivyo tunaonelea kuwa ni watu wa Bid´ah na ni wapotevu zaidi kuliko punda.
[1] al-Bukhaariy (5752) na Muslim (60).
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 184
- Imechapishwa: 26/08/2020
Swali: Je, kuwafanyie Takfiyr Jamaa´at-ut-Takfiyr?
Jibu: Hapana. Hatuwafanyii Takfiyr. Hata kama Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Yule mwenye kumwambia ndugu yake kuwa ni kafiri linamrudilia ikiwa si sahihi.”[1]
hatuwafanyii Takfiyr. ´Aliy bin Abiy Twaalib amesema kuhusu Khawaarij:
”Wameikimbia kufuru.”
Hata hivyo tunaonelea kuwa ni watu wa Bid´ah na ni wapotevu zaidi kuliko punda.
[1] al-Bukhaariy (5752) na Muslim (60).
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 184
Imechapishwa: 26/08/2020
https://firqatunnajia.com/takfiyr-kwa-takfiyriyyuun/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)