Swali: Je, kuwafanyie Takfiyr Jamaa´at-ut-Takfiyr?
Jibu: Hapana. Hatuwafanyii Takfiyr. Hata kama Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Yule mwenye kumwambia ndugu yake kuwa ni kafiri linamrudilia ikiwa si sahihi.”[1]
hatuwafanyii Takfiyr. ´Aliy bin Abiy Twaalib amesema kuhusu Khawaarij:
”Wameikimbia kufuru.”
Hata hivyo tunaonelea kuwa ni watu wa Bid´ah na ni wapotevu zaidi kuliko punda.
[1] al-Bukhaariy (5752) na Muslim (60).
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 184
- Imechapishwa: 26/08/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket