Swali: Ni lini kujifananisha na makafiri inahesabika ni jambo la kuchukizwa?
Jibu: Imekuja katika Hadiyth:
“Yule mwenye kujifananisha na watu basi yeye katika wao.”
Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah amesema:
“Udhahiri ni ukafiri.”
Lakini linalotambulika kwa wanachuoni ni kwamba ni haramu na si jambo la kuchukiza. Hali chache kabisa imechukizwa.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (04) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191047#191047
- Imechapishwa: 01/09/2018
Swali: Ni lini kujifananisha na makafiri inahesabika ni jambo la kuchukizwa?
Jibu: Imekuja katika Hadiyth:
“Yule mwenye kujifananisha na watu basi yeye katika wao.”
Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah amesema:
“Udhahiri ni ukafiri.”
Lakini linalotambulika kwa wanachuoni ni kwamba ni haramu na si jambo la kuchukiza. Hali chache kabisa imechukizwa.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (04) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191047#191047
Imechapishwa: 01/09/2018
https://firqatunnajia.com/takfiyr-kwa-anayejifananisha-na-makafiri/