Swali: Bwana mmoja alitaka kuswali Witr Rak´ah moja ambapo akaingia msikitini wakati wa usiku. Je, Rak´ah hii moja…

Jibu: Hapana, aanze kuswali Tahiyyat-ul-Masjid Rak´ah mbili kisha aswali Witr Rak´ah moja. Sunnah Tahiyyat-ul-Masjid ni Rak´ah mbili. Chenye kuzidi hapo hakizingatiwi Tahiyyat-ul-Masjid. Ni swalah ya kujitolea.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22589/حكم-تحية-المسجد-لمن-اراد-ان-يوتر-بواحدة
  • Imechapishwa: 13/04/2023