Swali: Ni ipi hukumu ya kufunga jumatatu na alkhamisi? Ni ipi katika siku mbil hizo iliyokokotezwa zaidi?
Jibu: Inapendeza kufunga siku ya jumatatu na alkhamisi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Matendo yanaonyeshwa kwa Allaah jumatatu na alkhamisi. Hivyo napenda yaonyeshwe matendo yangu hali ya kuwa nimefunga.”[1]
Kufunga jumatatu ndio muhimu zaidi kuliko alkhamisi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliulizwa kuhusu kufunga siku ya jumatatu, akasema:
“Hiyo ni siku ambayo nimezaliwa, nikatumilizwa na kuteremshiwa wahy.”[2]
[1] at-Tirmidhiy (747). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Swahiyh Sunan at-Tirmidhiy” (747).
[2] Muslim (1162).
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (20/15-16)
- Imechapishwa: 04/08/2026
Swali: Ni ipi hukumu ya kufunga jumatatu na alkhamisi? Ni ipi katika siku mbil hizo iliyokokotezwa zaidi?
Jibu: Inapendeza kufunga siku ya jumatatu na alkhamisi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Matendo yanaonyeshwa kwa Allaah jumatatu na alkhamisi. Hivyo napenda yaonyeshwe matendo yangu hali ya kuwa nimefunga.”[1]
Kufunga jumatatu ndio muhimu zaidi kuliko alkhamisi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliulizwa kuhusu kufunga siku ya jumatatu, akasema:
“Hiyo ni siku ambayo nimezaliwa, nikatumilizwa na kuteremshiwa wahy.”[2]
[1] at-Tirmidhiy (747). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Swahiyh Sunan at-Tirmidhiy” (747).
[2] Muslim (1162).
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (20/15-16)
Imechapishwa: 04/08/2026
https://firqatunnajia.com/swawm-ya-jumatatu-au-alkhamisi/