Swali: Mtu amepitwa na swalah kutokana na udhuru. Je, inafaa kuichelewesha baada ya kuondoka udhuru?
Jibu: Haijuzu kuchelewesha swalah nje ya wakati unapoondoka udhuru. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule mwenye kupitikiwa na usingizi au akaisahau swalah, basi aiswali pale atapoikumbuka. Haina kafara nyingine isipokuwa hiyo.”[1]
Amefanya wakati wa kuilipa ni pale inapokumbukwa. Ukiichelewesha wewe ni mwenye kupata dhambi.
[1] al-Bukhaariy (597) na Muslim (684).
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/224)
- Imechapishwa: 04/08/2026
Swali: Mtu amepitwa na swalah kutokana na udhuru. Je, inafaa kuichelewesha baada ya kuondoka udhuru?
Jibu: Haijuzu kuchelewesha swalah nje ya wakati unapoondoka udhuru. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule mwenye kupitikiwa na usingizi au akaisahau swalah, basi aiswali pale atapoikumbuka. Haina kafara nyingine isipokuwa hiyo.”[1]
Amefanya wakati wa kuilipa ni pale inapokumbukwa. Ukiichelewesha wewe ni mwenye kupata dhambi.
[1] al-Bukhaariy (597) na Muslim (684).
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/224)
Imechapishwa: 04/08/2026
https://firqatunnajia.com/swalah-iliyompita-mtu-anailipa-haraka-iwezekanavyo/