Swali: Ni ipi hukumu ya kuingiza msahafu chooni?
Jibu: Wanachuoni wanasema kuwa haijuzu kwa mtu kuuingiza msahafu chooni. Kwa sababu msahafu, kama inavyotambulika, una heshima na taadhima ambazo hazistahiki kuuingiza sehemu hii.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/109)
- Imechapishwa: 13/06/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kuingiza msahafu chooni?
Jibu: Wanachuoni wanasema kuwa haijuzu kwa mtu kuuingiza msahafu chooni. Kwa sababu msahafu, kama inavyotambulika, una heshima na taadhima ambazo hazistahiki kuuingiza sehemu hii.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/109)
Imechapishwa: 13/06/2017
https://firqatunnajia.com/swali-ni-ipi-hukumu-ya-kuingiza-msahafu-chooni-jibu-wanachuoni-wanasema-kuwa-haijuzu-kwa-mtu-kuuingiza-msahafu-chooni-kwa-sababu-msahafu-kama-inavyotambulika-una-heshima-na-taadhima-ambazo-hazis/