Swali 21: Waislamu wote wanapata dhambi ikiwa hakuna yeyote katika wao aliyefanya bidii ya kuutafuta mwezi mwandamo wa Ramadhaan ni mamoja ikiwa kuanzia au kumalizika kwake?
Jibu: Kutafuta mwezi mwandamo – mwezi wa Ramadhaan au mwezi wa Shawwaal – ni jambo lilizoeleka katika zama za Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum). Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhum) amesema:
“Watu walitoka nje kuona mwezi mwandamo. Nikamweleza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ya kwamba nimeuona. Kwa hivyo akafunga na akawaamrisha watu wafunge.”[1]
Hapana shaka kwamba uongofu wa Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum) ndio kamilifu zaidi.
[1] Abu Daawuud (2342). Ni Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”al-Irwaa´” (908).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 48 mas-alatu fiy Swiyaam, uk. 29-30
- Imechapishwa: 19/04/2021
Swali 21: Waislamu wote wanapata dhambi ikiwa hakuna yeyote katika wao aliyefanya bidii ya kuutafuta mwezi mwandamo wa Ramadhaan ni mamoja ikiwa kuanzia au kumalizika kwake?
Jibu: Kutafuta mwezi mwandamo – mwezi wa Ramadhaan au mwezi wa Shawwaal – ni jambo lilizoeleka katika zama za Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum). Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhum) amesema:
“Watu walitoka nje kuona mwezi mwandamo. Nikamweleza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ya kwamba nimeuona. Kwa hivyo akafunga na akawaamrisha watu wafunge.”[1]
Hapana shaka kwamba uongofu wa Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum) ndio kamilifu zaidi.
[1] Abu Daawuud (2342). Ni Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”al-Irwaa´” (908).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: 48 mas-alatu fiy Swiyaam, uk. 29-30
Imechapishwa: 19/04/2021
https://firqatunnajia.com/swali-21-waislamu-wote-wanapata-dhambi-ikiwa-hakuna-yeyote-katika-wao-aliyefanya-bidii-ya-kuutafuta-mwezi-mwandamo-wa-ramadhaan-ni-mamoja-ikiwa-kuanzia-au-kumalizika-kwake-jibu-kutafuta-mwezi-mwand/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)