Swali: Kuna mtu amezama baharini na mwili wake haukupatikana. Je, aswaliwe swalah ya ghaibu?
Jibu: Ndio, pale itapothibitishwa kweli kuwa amekufa. Kwa sababu kuna uwezekano akawa amesalimika. Aswaliwe pale itapothibitishwa kama kweli amekufa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-10-30.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Kuna mtu amezama baharini na mwili wake haukupatikana. Je, aswaliwe swalah ya ghaibu?
Jibu: Ndio, pale itapothibitishwa kweli kuwa amekufa. Kwa sababu kuna uwezekano akawa amesalimika. Aswaliwe pale itapothibitishwa kama kweli amekufa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-10-30.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-ghaibu-kwa-maiti-aliyezama-baharini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)