Swali: Ni ipi hukumu ya swalah ya mtu ambaye anajizuia haja kubwa au ndogo au wakati ambapo kumeshatengwa chakula?
Jibu: Imechukizwa. Hukumu yake ni kwamba imechukizwa. Inasihi lakini pamoja na machukizo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (49) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-5-13.mp3
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Ni ipi hukumu ya swalah ya mtu ambaye anajizuia haja kubwa au ndogo au wakati ambapo kumeshatengwa chakula?
Jibu: Imechukizwa. Hukumu yake ni kwamba imechukizwa. Inasihi lakini pamoja na machukizo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (49) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-5-13.mp3
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/swalah-wakati-ambapo-kumeshatengwa-chakula-au-mtu-anataka-kwenda-kujisaidia-chooni/