Swali: Suufiyyah ni watu gani?
Jibu: Suufiyyah ni wale wanaomuabudu Allaah kinyume na njia isiyokuwa ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Wanajitahidi katika ´ibaadah kinyume na njia isiyokuwa ya Mtume na wanadai kuwa hawahitajii Mtume na kwamba wanapokea kutoka kwa Allaah moja kwa moja. Haya yatakuja huko mbele – Allaah akitaka.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (03) http://alfawzan.af.org.sa/node/2046
- Imechapishwa: 18/10/2016
Swali: Suufiyyah ni watu gani?
Jibu: Suufiyyah ni wale wanaomuabudu Allaah kinyume na njia isiyokuwa ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Wanajitahidi katika ´ibaadah kinyume na njia isiyokuwa ya Mtume na wanadai kuwa hawahitajii Mtume na kwamba wanapokea kutoka kwa Allaah moja kwa moja. Haya yatakuja huko mbele – Allaah akitaka.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (03) http://alfawzan.af.org.sa/node/2046
Imechapishwa: 18/10/2016
https://firqatunnajia.com/suufiyyah-kwa-mujibu-wa-al-fawzaan/