Swali: Ni ipi hukumu ya wanaume kuvaa suruwali?

Jibu: Haina neno ikiwa ni yenye kusitiri. Ni sawa ikiwa si yenye kujifananisha na maadui wa Allaah kwa sababu waislamu wanaivaa. Hapana neno ikiwa waislamu wanaivaa na haipelekei kujifananisha na maadui wa Allaah na inafunika vile viungo visivyotakiwa kuonekana.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22977/ما-حكم-لبس-البنطلون-للرجال
  • Imechapishwa: 06/10/2023