Tarawiyh na kisimamo cha usiku ni Sunnah mbili zilizokokotezwa. Mtu analipwa thawabu kwa kuziswali na wala haadhibiwi kwa kuziacha. Wala sio lazima kuziswali kwa mkusanyiko. Hapana vibaya mtu akiziswali peke yake.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (2/243)
- Imechapishwa: 22/03/2024
Tarawiyh na kisimamo cha usiku ni Sunnah mbili zilizokokotezwa. Mtu analipwa thawabu kwa kuziswali na wala haadhibiwi kwa kuziacha. Wala sio lazima kuziswali kwa mkusanyiko. Hapana vibaya mtu akiziswali peke yake.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (2/243)
Imechapishwa: 22/03/2024
https://firqatunnajia.com/sunnah-mbili-zilizohimizwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)