Swali: Katika maelezo yangu ya chini ya kitabu kumeandikwa kwamba swalah ya ´iyd inaswaliwa katika uwanja wa wazi jangwani isipokuwa Makkah. Bora kwa wakazi wake wakaswali msikiti Mtakatifu.
Jibu: Ndio, mambo ni hivo. Watu wa Makkah hawatakiwi kutoka. Wanatakiwa kuswali katika msikiti Mtakatifu. Hivi ndivo hali ilivyokuwa tokea wakati wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kuhusu msikiti wa al-Madiynah nyenginezo Sunnah ni kwamba watoke kwenda jangwani.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (14) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-03-11-1434.mp3
- Imechapishwa: 05/06/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)