Swali: Je, kupiga chuku ni katika Sunnah?
Jibu: Ndio, akihitajia kufanya hivo. Imekuja katika Hadiyth:
“Hakika tiba bora mnazotumia ni kuumikwa na kuvuta dawa puani.”
Ameipokea Muslim.
Swali: Ni sehemu zipi ambazo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifanyiwa chuku?
Jibu: Kilichojulikana ni kwamba alifanyiwa chuku kichwani mwake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25359/هل-الحجامة-من-السنة
- Imechapishwa: 07/03/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)