Swali: Je, ni Sunnah kwa mwanaume kuoga na mkewe?
Jibu: Inafaa, inafaa. Hukumu yake inafaa.
Swali: Kwa hivyo sio Sunnah?
Jibu: Ni jambo linahitaji kuangaliwa vyema. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifanya kwa namna ya kufahamisha kuwa inafaa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24687/حكم-غسل-الرجل-مع-امراته
- Imechapishwa: 23/11/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)