Swali: Je, ni Sunnah kwa mwanaume kuoga na mkewe?
Jibu: Inafaa, inafaa. Hukumu yake inafaa.
Swali: Kwa hivyo sio Sunnah?
Jibu: Ni jambo linahitaji kuangaliwa vyema. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifanya kwa namna ya kufahamisha kuwa inafaa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24687/حكم-غسل-الرجل-مع-امراته
- Imechapishwa: 23/11/2024
Swali: Je, ni Sunnah kwa mwanaume kuoga na mkewe?
Jibu: Inafaa, inafaa. Hukumu yake inafaa.
Swali: Kwa hivyo sio Sunnah?
Jibu: Ni jambo linahitaji kuangaliwa vyema. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifanya kwa namna ya kufahamisha kuwa inafaa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24687/حكم-غسل-الرجل-مع-امراته
Imechapishwa: 23/11/2024
https://firqatunnajia.com/sunnah-kuoga-na-mke/