Swali: Ni ipi hukumu lau imamu atasahau katika swalah za kusoma kwa sauti kusoma Suurah baada ya Faatihah?
Jibu: Ni Sunnah. Ikiwa amesahau kusoma baada ya Faatihah kitu katika Qur-aan katika zile Rak´ah mbili za mwanzo, huyu ameacha Sunnah. Inapendekeza kwake kuleta Suujud ya kusahau kwa minajili ya mapendekezo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (06) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-8-5.mp3
- Imechapishwa: 10/11/2014
Swali: Ni ipi hukumu lau imamu atasahau katika swalah za kusoma kwa sauti kusoma Suurah baada ya Faatihah?
Jibu: Ni Sunnah. Ikiwa amesahau kusoma baada ya Faatihah kitu katika Qur-aan katika zile Rak´ah mbili za mwanzo, huyu ameacha Sunnah. Inapendekeza kwake kuleta Suujud ya kusahau kwa minajili ya mapendekezo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (06) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-8-5.mp3
Imechapishwa: 10/11/2014
https://firqatunnajia.com/sujuud-ya-kusahau-kwa-aliyesahau-kusoma-suurah-baada-ya-al-faatihah/