Sujuud ya kisomo ni lazima kuelekea Qiblah?

Swali: Ni sharti kuelekea Qiblah wakati wa sujuud ya kisomo na kuwa na twahara?

Jibu: Hapana. Sujuud ya kisomo inakuja baada ya kisomo. Ni mamoja umeelekea Qiblah au haukuelekea Qiblah. Sujuud na hali ulionayo.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (45)
  • Imechapishwa: 26/07/2024