Mtu ataona tofauti nyingi katika ´Aqiydah na mambo ya ´ibaadah. Watu wanafuata matamanio na maoni mbalimbali. Hata hivyo sisi hatuwafuati watu. Tunayapima yale waliyomo watu na Qur-aan na Sunnah. Yale yanayoafikiana na Qur-aan na Sunnah ndio haki na yenye kwenda kinyume nayo ni batili.
- Muhusika: aam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Sharh-is-Sunnah, uk. 29
- Imechapishwa: 18/10/2017
Mtu ataona tofauti nyingi katika ´Aqiydah na mambo ya ´ibaadah. Watu wanafuata matamanio na maoni mbalimbali. Hata hivyo sisi hatuwafuati watu. Tunayapima yale waliyomo watu na Qur-aan na Sunnah. Yale yanayoafikiana na Qur-aan na Sunnah ndio haki na yenye kwenda kinyume nayo ni batili.
Muhusika: aam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Sharh-is-Sunnah, uk. 29
Imechapishwa: 18/10/2017
https://firqatunnajia.com/sisi-hatuwafuati-watu/