Mtu ataona tofauti nyingi katika ´Aqiydah na mambo ya ´ibaadah. Watu wanafuata matamanio na maoni mbalimbali. Hata hivyo sisi hatuwafuati watu. Tunayapima yale waliyomo watu na Qur-aan na Sunnah. Yale yanayoafikiana na Qur-aan na Sunnah ndio haki na yenye kwenda kinyume nayo ni batili.
- Muhusika: aam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Sharh-is-Sunnah, uk. 29
- Imechapishwa: 18/10/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket