Swali: Ni ipi hukumu ya kuwalea wanyamawakali, wakiwemo simba na simbamarara, kwa njia ya kwamba wakaishi mahali pa mtu anapopumzikia wakati wa kiangazi?
Jibu: Haijuzu. Haijuzu kuwalea na kujipatishia wanyamawakali. Haijuzu. Kinachofaa ni kujipatishia mbwa kwa ajili ya lengo alilolitaja Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), kama vile ulinzi au kukuelekeza njia.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (40)
- Imechapishwa: 13/05/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)