Siku chache zilizopita kuna Shaykh mmoja kutoka Yemen aliyenitembelea akiwa pamoja na wanawe na marafiki zake. Baada ya matembezi mmoja katika watoto wake akaeneza picha yangu mimi na yeye. Nimekwishazindua ya kwamba simruhusu yeyote kunichukua picha wala kueneza picha yangu. Isitoshe ananisifu kwa njia ambayo sistahiki.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://twitter.com/OAlbadr/status/676084504986042368
- Imechapishwa: 27/08/2020
Siku chache zilizopita kuna Shaykh mmoja kutoka Yemen aliyenitembelea akiwa pamoja na wanawe na marafiki zake. Baada ya matembezi mmoja katika watoto wake akaeneza picha yangu mimi na yeye. Nimekwishazindua ya kwamba simruhusu yeyote kunichukua picha wala kueneza picha yangu. Isitoshe ananisifu kwa njia ambayo sistahiki.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://twitter.com/OAlbadr/status/676084504986042368
Imechapishwa: 27/08/2020
https://firqatunnajia.com/si-ruhusa-kwa-yeyote-kueneza-picha-ya-al-abbaad-ii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)