Swali: Tunawaruhusu [wanafunzi] kutoka ili watawadhe na hawarejei isipokuwa baada ya kumalizika somo. Je, inafaa wakasoma ndani ya msahafu?
Jibu: Si lazima watawadhe kwa ajili ya kugusa msahafu. Wanaweza kuisoma kimoyoni ili ikite zaidi kwenye hifdhi. Vinginevyo waruhusiwe waende kutawadha. Yule asiyerudi anatakiwa kutiwa adabu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21573/حكم-مس-الطلاب-المصحف-بغير-وضوء
- Imechapishwa: 20/08/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)