Swali: Tunawaruhusu [wanafunzi] kutoka ili watawadhe na hawarejei isipokuwa baada ya kumalizika somo. Je, inafaa wakasoma ndani ya msahafu?
Jibu: Si lazima watawadhe kwa ajili ya kugusa msahafu. Wanaweza kuisoma kimoyoni ili ikite zaidi kwenye hifdhi. Vinginevyo waruhusiwe waende kutawadha. Yule asiyerudi anatakiwa kutiwa adabu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21573/حكم-مس-الطلاب-المصحف-بغير-وضوء
- Imechapishwa: 20/08/2022
Swali: Tunawaruhusu [wanafunzi] kutoka ili watawadhe na hawarejei isipokuwa baada ya kumalizika somo. Je, inafaa wakasoma ndani ya msahafu?
Jibu: Si lazima watawadhe kwa ajili ya kugusa msahafu. Wanaweza kuisoma kimoyoni ili ikite zaidi kwenye hifdhi. Vinginevyo waruhusiwe waende kutawadha. Yule asiyerudi anatakiwa kutiwa adabu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21573/حكم-مس-الطلاب-المصحف-بغير-وضوء
Imechapishwa: 20/08/2022
https://firqatunnajia.com/si-lazima-kutawadha-kwa-ajili-ya-kusoma/