Swali: Inajuzu kwa mtu kumwambia ambaye amemfanyia wema na anataka kumshukuru:
“Shukurani za dhati.”?
Jibu: Mshukuru kwa kiasi cha wema:
وَوَصَّيْنَا الْإِنسَانَ بِوَالِدَيْهِ حَمَلَتْهُ أُمُّهُ وَهْنًا عَلَىٰ وَهْنٍ وَفِصَالُهُ فِي عَامَيْنِ أَنِ اشْكُرْ لِي وَلِوَالِدَيْكَ إِلَيَّ الْمَصِيرُ
“Tumemuusia mwanadamu [kuwatendea wema] wazazi wake wawili; mama yake ameibeba mimba yake akimzidishia udhaifu juu ya udhaifu na [kumnyonyesha na] kuacha kwake ziwa katika miaka mwili ya kwamba: unishukuru Mimi na wazazi wako; Kwangu ndio marejeo ya mwisho.” (23:14)
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hamshukuru Allaah yule asiyewashukuru watu.”
Mshukuru kiasi cha wema wake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13382
- Imechapishwa: 24/06/2020
Swali: Inajuzu kwa mtu kumwambia ambaye amemfanyia wema na anataka kumshukuru:
“Shukurani za dhati.”?
Jibu: Mshukuru kwa kiasi cha wema:
وَوَصَّيْنَا الْإِنسَانَ بِوَالِدَيْهِ حَمَلَتْهُ أُمُّهُ وَهْنًا عَلَىٰ وَهْنٍ وَفِصَالُهُ فِي عَامَيْنِ أَنِ اشْكُرْ لِي وَلِوَالِدَيْكَ إِلَيَّ الْمَصِيرُ
“Tumemuusia mwanadamu [kuwatendea wema] wazazi wake wawili; mama yake ameibeba mimba yake akimzidishia udhaifu juu ya udhaifu na [kumnyonyesha na] kuacha kwake ziwa katika miaka mwili ya kwamba: unishukuru Mimi na wazazi wako; Kwangu ndio marejeo ya mwisho.” (23:14)
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hamshukuru Allaah yule asiyewashukuru watu.”
Mshukuru kiasi cha wema wake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13382
Imechapishwa: 24/06/2020
https://firqatunnajia.com/shukurani-za-dhati/