Wakati ´Aliy alikuwa amesimama na anakhutubu alisimama Ibn Sabaa´ na akasema:
“Wewe ndiye Ndiye!”
Akawa anakariri hivo mara nyingi ambapo ´Aliy akasema:
“Ole wako! Mimi ni nani?”
Akajibu:
“Wewe ni Allaah.”
Hivyo akaamrisha akamatwe yeye na watu waliokuwa na mtazamo kama wake.
- Muhusika: ´Abdul-Hamiyd bin Abiyl-Hadiyd (kfrk 656)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nahj-il-Balaaghah (5/5)
- Imechapishwa: 09/12/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)