´Abdullaah bin Sabaa´ alisema kumwambia ´Aliy:
“Kwa kweli wewe ndiye Allaah!”
Hivyo ´Aliy akamfukuza kwenda katika vijiji. Imesemwa pia kwamba alikuwa ni myahudi ambaye alisilimu. Wakati wa uyahudi wake aliwa akisema juu ya Yuushuu´ bin Nuun na Muusa yale ambayo baadaye alikuja kusema kuhusu ´Aliy.
- Muhusika: Ni´matullaah bin Muhammad al-Jazaa-iriy (kfrk. 1112)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Anwaar an-Nu´maaniyyah (2/234)
- Imechapishwa: 09/12/2018
´Abdullaah bin Sabaa´ alisema kumwambia ´Aliy:
“Kwa kweli wewe ndiye Allaah!”
Hivyo ´Aliy akamfukuza kwenda katika vijiji. Imesemwa pia kwamba alikuwa ni myahudi ambaye alisilimu. Wakati wa uyahudi wake aliwa akisema juu ya Yuushuu´ bin Nuun na Muusa yale ambayo baadaye alikuja kusema kuhusu ´Aliy.
Muhusika: Ni´matullaah bin Muhammad al-Jazaa-iriy (kfrk. 1112)
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Anwaar an-Nu´maaniyyah (2/234)
Imechapishwa: 09/12/2018
https://firqatunnajia.com/shiyah-al-jazaa-iriy-anakiri-myahudi-ndiye-muasisi-wa-pote-hilo/