´Abdullaah bin Sabaa´ ndiye yule ambaye aliritadi katika ukafiri na akachupa mipaka… Alikuwa ni mwenye kupindukia na kulaaniwa. Kiongozi wa waumini alimchoma moto. Alidai kwamba ´Aliy ni mungu na Mtume.
- Muhusika: ´Abdullaah al-Maamaqaaniy (kfrk. 1351)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tanqiyh-ul-Maqaal (2/183-184)
- Imechapishwa: 26/12/2018
´Abdullaah bin Sabaa´ ndiye yule ambaye aliritadi katika ukafiri na akachupa mipaka… Alikuwa ni mwenye kupindukia na kulaaniwa. Kiongozi wa waumini alimchoma moto. Alidai kwamba ´Aliy ni mungu na Mtume.
Muhusika: ´Abdullaah al-Maamaqaaniy (kfrk. 1351)
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tanqiyh-ul-Maqaal (2/183-184)
Imechapishwa: 26/12/2018
https://firqatunnajia.com/shiyah-al-maamaqaaniy-anakiri-myahudi-ndiye-muasisi-wa-pote/