´Abdullaah bin Sabaa´ ndiye yule ambaye aliritadi katika ukafiri na akachupa mipaka… Alikuwa ni mwenye kupindukia na kulaaniwa. Kiongozi wa waumini alimchoma moto. Alidai kwamba ´Aliy ni mungu na Mtume.
- Muhusika: ´Abdullaah al-Maamaqaaniy (kfrk. 1351)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tanqiyh-ul-Maqaal (2/183-184)
- Imechapishwa: 26/12/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)