Baadhi ya wanachuoni wanataja kwamba ´Abdullaah bin Sabaa´ alikuwa myahudi ambaye aliingia katika Uislamu na akaonyesha mapenzi kwa ´Aliy. Katika uyahudi wake alikuwa akichupa mipaka juu ya Yuushu´ kwamba ndiye wasii wa Muusa. Baada ya kusilimu kwake akasema hayohayo baada ya kufa kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) juu ya ´Aliy. Yeye ndiye wa mwanzo aliyetambulika kuzungumzia juu ya uongozi wa ´Aliy, kujitenga mbali na maadui wake, kuwashambulia wenye kumhalifu na kuwakufurisha.
- Muhusika: Muhammad bin ´Umar al-Kishshiy (kfrk. 350)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ikhtiyaar Ma´rifat-ir-Rijaal (1/324)
- Imechapishwa: 14/12/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)