Swali: Shaykh-ul-Islaam anaonelea kuwa swalah mbili za ´iyd ni wajibu…
Jibu: Ndio, anaonelea kuwa ni faradhi kwa watu wote. Shaykh-ul-Islaam amechagua kauli inayosema kuwa swalah ya ´iyd ni faradhi kwa watu wote na sio faradhi kwa baadhi ya watu.
Swali: … ni ipi dalili yake juu ya hilo na kauli yake ina nguvu au haina nguvu?
Jibu: Kauli yake ina nguvu. Kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha mpaka mwanamke mwenye hedhi kumtoa kwenda kushuhudia swalah ya ´iyd. Ameamrisha watolewe. Hii ni dalili inayoonesha kuwa ni faradhi kwa watu wote.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (05) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-6-7.mp3
- Imechapishwa: 10/11/2014
Swali: Shaykh-ul-Islaam anaonelea kuwa swalah mbili za ´iyd ni wajibu…
Jibu: Ndio, anaonelea kuwa ni faradhi kwa watu wote. Shaykh-ul-Islaam amechagua kauli inayosema kuwa swalah ya ´iyd ni faradhi kwa watu wote na sio faradhi kwa baadhi ya watu.
Swali: … ni ipi dalili yake juu ya hilo na kauli yake ina nguvu au haina nguvu?
Jibu: Kauli yake ina nguvu. Kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha mpaka mwanamke mwenye hedhi kumtoa kwenda kushuhudia swalah ya ´iyd. Ameamrisha watolewe. Hii ni dalili inayoonesha kuwa ni faradhi kwa watu wote.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (05) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-6-7.mp3
Imechapishwa: 10/11/2014
https://firqatunnajia.com/shaykh-ul-islaam-kuhusu-hukumu-ya-swalah-ya-iyd/