Swali: Je, mwonaji awaeleze watu ikiwa ametia shaka kama ameona mwezi mwandamo au hakuona?

Jibu: Hakuna faida pale anapotia shaka. Muhimu ni kuwepo yakini na uhakika kwamba kweli ameuona usiku wa tarehe thelathini.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/audios/794/فتاوى-رمضانية
  • Imechapishwa: 01/04/2023